Kuna faida nyingi sana zinazotokana nakujitambua, chache kati yake ni hizi :
1. Kuishi maisha yaliyo kamiliKujitambua kunakupa nafasi yakupanga malengo kutokana na ndotozako maishani. Malengo ndio msingiwa maendeleo. Tatizo ni kuwa wengiwetu tumejawa na hofu, kutojiamini,kuiga, kutojua cha kufanya nakutofahamu umuhimu wa fikra zetukwenye maisha ya kilasiku. Kujitambua kunakupa ujasiriwa kupambana na vikwazo katikasafari ya kutimiza ndoto zako.Kwa ufupi, kujitambua ni mwanzo wakuishi maisha yaliyo kamili, kifikrana kimtazamo . Unaweza kufanyamambo mengi bila kujitambua, lakinimafanikio yanayodumu hayaji kwakubahatisha, bali kwa kuelewa njiamadhubuti za kufanya mambo iliuweze kufikia malengo. Hiiinawezekana kwa kuanzakujitambua.
2. Kutumia kila fursa ipasavyoFursa ziko kila sehemu, unachohitajini malengo madhubuti unayotakakutimiza. Una utashi mkubwana vipaji vingi vinavyoweza kutumikakatika kutumia fursa mbalimbali nakuinua maisha yako. Njia pekee yakuanza kufahamu uwezo wakomkubwa ni kujitambua.Kujitambua ni kufahamu fursaunazotaka kuzitumia kuendelezamaisha kwa kufanya yale muhimuna kuacha yasiyo na tija kwako.
3. Kujiendeleza zaidi kifikraFikra zako zina mchango mkubwasana katika kuendesha maisha yako.Ili kubadili maisha, ni lazimakubadili fikra. Kubadili fikra ni kitucha kwanza na cha msingi.Ili tuweze kufikia malengo,tunatakiwa kupanua wigo wa fikrazetu na kuona mbali zaidi ya leo nakesho. Hii inawezekana kwa kilammoja wetu, ingawa si kazi rahisi.
4. Kuwa mchango mkubwa kwajamiiBinafsi naamini – maisha huwa namaana zaidi kama kile unachofanyakitakuwa na mchango mkubwa kwawatu wengi zaidi .Mtu anayejitambua huwa rasilimalimuhimu kwa jamii. Mchango wakehuwa chachu ya mabadiliko katikamaisha ya wengi. Maendeleo huletwana watu wenye mtazamo chanyazaidi juu ya malengo yao maishani.Nawe pia unaweza kama ukianzakujitambua.Kujitambua ni jambo muhimu sana ilikuweza kufanikiwa kwenye maisha yako.Ni chaguo lako – kuchukua nafasi nakuweza kujitambua au kuishi maishauliyozea na kuendelea kushabikia walewanaotimiza ndoto zao kila siku.Karibu kwenye safari ya kujitambua.
1. Kuishi maisha yaliyo kamiliKujitambua kunakupa nafasi yakupanga malengo kutokana na ndotozako maishani. Malengo ndio msingiwa maendeleo. Tatizo ni kuwa wengiwetu tumejawa na hofu, kutojiamini,kuiga, kutojua cha kufanya nakutofahamu umuhimu wa fikra zetukwenye maisha ya kilasiku. Kujitambua kunakupa ujasiriwa kupambana na vikwazo katikasafari ya kutimiza ndoto zako.Kwa ufupi, kujitambua ni mwanzo wakuishi maisha yaliyo kamili, kifikrana kimtazamo . Unaweza kufanyamambo mengi bila kujitambua, lakinimafanikio yanayodumu hayaji kwakubahatisha, bali kwa kuelewa njiamadhubuti za kufanya mambo iliuweze kufikia malengo. Hiiinawezekana kwa kuanzakujitambua.
2. Kutumia kila fursa ipasavyoFursa ziko kila sehemu, unachohitajini malengo madhubuti unayotakakutimiza. Una utashi mkubwana vipaji vingi vinavyoweza kutumikakatika kutumia fursa mbalimbali nakuinua maisha yako. Njia pekee yakuanza kufahamu uwezo wakomkubwa ni kujitambua.Kujitambua ni kufahamu fursaunazotaka kuzitumia kuendelezamaisha kwa kufanya yale muhimuna kuacha yasiyo na tija kwako.
3. Kujiendeleza zaidi kifikraFikra zako zina mchango mkubwasana katika kuendesha maisha yako.Ili kubadili maisha, ni lazimakubadili fikra. Kubadili fikra ni kitucha kwanza na cha msingi.Ili tuweze kufikia malengo,tunatakiwa kupanua wigo wa fikrazetu na kuona mbali zaidi ya leo nakesho. Hii inawezekana kwa kilammoja wetu, ingawa si kazi rahisi.
4. Kuwa mchango mkubwa kwajamiiBinafsi naamini – maisha huwa namaana zaidi kama kile unachofanyakitakuwa na mchango mkubwa kwawatu wengi zaidi .Mtu anayejitambua huwa rasilimalimuhimu kwa jamii. Mchango wakehuwa chachu ya mabadiliko katikamaisha ya wengi. Maendeleo huletwana watu wenye mtazamo chanyazaidi juu ya malengo yao maishani.Nawe pia unaweza kama ukianzakujitambua.Kujitambua ni jambo muhimu sana ilikuweza kufanikiwa kwenye maisha yako.Ni chaguo lako – kuchukua nafasi nakuweza kujitambua au kuishi maishauliyozea na kuendelea kushabikia walewanaotimiza ndoto zao kila siku.Karibu kwenye safari ya kujitambua.
No comments:
Post a Comment