{ google_language = "en"; } { google_language = "en"; } ANZA BIASHARA KWA LENGO LA KUTOA HUDUMA BORA SIO PESA ~ MAKI INSPIRE

new

new job

http://go.oclasrv.com/afu.php?id=1313272

ANZA BIASHARA KWA LENGO LA KUTOA HUDUMA BORA SIO PESA

Anza biashara kwa lengo la kutoa huduma
bora na si kwa malengo ya kupata pesa
nyingi. Tofauti ya haya mawili nikuwa kama
lengo lako la msingi ni kutoa huduma bora,
tuseme unafanya biashara ya nyanya na una
malengo ya kuhakikisha kuwa wateja wako
wanapata nyanya nzuri na kwa wakati, kwa
kutimiza malengo yako itawalazimisha wateja
wako kila wanapohitaji nyanya nzuri kuja
kwako.
Hii inamaanisha kwamba wanapokuja kwako
kila mara pesa itaingia. Lakini kama lengo
lako ni kutengeneza pesa nyingi, inamaanisha
kua utafanya kila kitu ili kuingiza pesa na
wakati mwingine utakuwa tayari hata
kuwadanganya wateja wako ili tu wanunue na
wewe kupata pesa. Utapata pesa kweli lakini
wataja hawatarudi tena na utakuwa mwisho
wako.
Lakini si hilo tu, kama unasukumwa katika
kupata pesa ya harakaharaka na pesa
ikakosekana basi ni rahisi kwako kukata
tamaa. Itakukosesha uvumilivu ambao ni kitu
muhimu katika biashara. Badili malengo yako
sasa na wekeza akili yako katika kuboresha
bidhaa zako na huduma unayotoa, pesa
itakuja yenyewe.makinspire.blogspot.com
Share:

No comments:

GET LATEST JOBS and VACANCIES UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Get Latest Jobs Vacancies Alert Via Our Facebook Page

LATEST JOBS & VACANCIES