Hufikiri namna ya KUCHUKUA
HATUA BILA KUCHELEWA .
Watu wanaofanikiwa ni watu
ambao huchukua hatua za
kutekeleza yale waliyojifunza na
wameyaamini.Watu
waliofanikiwa si watu wa
maneno mengi mengi bali ni
watu wa vitendo vingi
vingi,huwa na hali ya uharaka
kwa kila jambo muhimu(sense of
urgency).
Kila siku hujiuliza,leo nifanye
nini bila kuchelewa ili kusogea
hatua moja Zaidi?Hawapendi
kuchelewa kuweka katika vitendo
kila jipya wanalojifunza.
Je nawe unafikiri kwa namna hii
au kuna maeneo unahitaji
kuongeza uwezo wako?
Endelea kutembelea blog yetu ya makinspire.blogspot.com
Kujifunza
Mafunzo zaiid bila Malipo
Home »
MOTIVATION AND INSPIRATION ISSUES
» FIKIRIA NAMNA YA KUCHUKUA HATUA BILA KUCHELEWA
No comments:
Post a Comment