![]() |
Hata manabii hawakuzaliwa na kuanza
kuhubiri neno la Mungu. Hata mataifa
yaliyoendelea yalipitia yalikutana na
changamoto mbalimbali, ila waliamini kuwa
watafanikiwa tu. Na sisi tunaoendelea
kutafuta maisha kama hao ambao tayari
wameshaendelea, tunatakiwa kuungana
mkono, kuhasishana na ,kutiana moyo, kupeana fulsa, na kuaminiana kuwa tunaweza, na si kuvunjana moyo.
Tupo pamoja
Alex limaki
No comments:
Post a Comment