{ google_language = "en"; } { google_language = "en"; } KAMA SI LEO KESHO YATATIMIA USIKATE TAMAA ~ MAKI INSPIRE

new

new job

http://go.oclasrv.com/afu.php?id=1313272

KAMA SI LEO KESHO YATATIMIA USIKATE TAMAA

KAMA SI LEO, KESHO YATATIMIA
Jana usiku nikiwa najisomea nilikutana na
msemo huu (If you want to hide something
from a black man, put it in a book), ambao
ulinitia hasira kidogo na kunifanya nijiulize
mara mbili mbili kwanini. Msemo huu miaka
ya nyuma ulitumika nchini Marekani ambapo
ulikuwa una lengo la kuwabagua watu weusi
kupata haki ya msingi ya kujifunza maana
walikatazwa kusoma na kujifunza vitu kadha
wa kadha. Lakini baada ya kufuatilia kidogo
nilikuja kugundua tatizo halikuwa kwa
waliotunga aina hii ya taratibu bali lilikuwa
kwa waliowekewa utaratibu huu. Watu weusi
walikuwa ni watu wasiopenda kujifunza na
kusoma, badala yake waliamua kutumia muda
mwingi kufanya vitu visivyo na tija kwa muda
mrefu ambavyo vilitumia nguvu zaidi kuliko
akili zaidi.
Ndugu zangu mnaosoma makala yangu
niwakumbushe kuwa kizazi cha leo kinajua na
kufahamu mengi lakini hakipendi ukweli. Ni
kizazi kinachosahau mapema na kupoteza
kumbukumbu, ni kizazi cha vita ya kweli na
uhuru, ni kizazi kilichogeuka utumwa wa mwili
na akili, ni kizazi kilichopoteza uhalisia kama
enzi za wazee wetu na viongozi wetu. Ni
kizazi hiki cha hasira, ni kizazi ambacho watu
wanapretend kufurahia au angalau kutoa
meno nje lakini wamejaa shida tupu mfukoni
na kichwani hakuna kitu kabisa.
Share:

No comments:

GET LATEST JOBS and VACANCIES UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Get Latest Jobs Vacancies Alert Via Our Facebook Page

LATEST JOBS & VACANCIES