{ google_language = "en"; } { google_language = "en"; } MJUE KIJANA ALIYEANZA KUMILIKI KAMPUNI AKIWA NA MIAKA 16,msome hapa kumjua ~ MAKI INSPIRE

new

new job

http://go.oclasrv.com/afu.php?id=1313272

MJUE KIJANA ALIYEANZA KUMILIKI KAMPUNI AKIWA NA MIAKA 16,msome hapa kumjua

Kuna kijana anaitwa odense miaka 22
kutoka nchini Uganda anaeitwa Andrew
Mapuya.
Andrew anatokea katika famili ya chini sana
ambapo mwaka 2008 wazazi wake woote
walisimamishwa kazi.Jambo ambalo
lilipelekea nyumbani maisha kuwa
magumu.Wakati huo akiwa na miaka 16 na ni
mwanafunzi wa sekondari ikawa inamlazimu
aokote chupa za plastic auze na anunue
chakula cha nyumbani kwao.
Mwaka huo huo serikali ya Uganda ilipiga
marufuku matumizi ya mifuko ya plastic kwa
sababu za kimazingira pamoja na kiafya.Bila
kupoteza muda Andrew akatambua fursa kuwa
iwapo hakutauzwa mifuko ya plastic bado
mifuko itahitajika je mbadala wake ni nini?
Akawaza aanzishe biashara ya kutengeneza
mifuko ya karatasi yaani paper bag.Akafanya
ufatiti wa uhitaji wake wa mtaji ikawa ni tsh
za
uganda 36,000.Basi akaanza mdogo mdogo
kukusanya chupa za plastic anauza hela
anatunza ili kupata mtaji.Akatunza pesa
mpaka
alipobakiwa na kiasi kidogo kama tsh 11,000
akaenda kumuomba mwalimu shule
akampatia.Mwaka huo huo akasajili kampuni
yake ambayo inasemekana ndio kampuni ya
kwanza kusajiliwa ya kutengeneza na kuuza
mifuko ya karatasi.Kampuni inaitwa Youth
Enterprenual Link Investment (YELI)
Kampuni hiyo sasa inawateja wengi na
inatengeneza na kusambaza mifuko kwenye
super markets,restaurant,medical
centre,maduka,na makampuni mbali mbali
katika mji wa Kampala.Mpaka sasa
ameshaajiri
vijana zaidi ya 16.
Mwaka 2012 alikuwa mshindi wa shindano la
Anzisha Prize la vijana wajasiriamali na
alishinda dola za kimarekani 30,000
Ninachoweza kuona kama funzo kutoka kwa
kijana huyu ni kuwa
1.Unapotaka kuanzisha biashara fanya utafiti
2.Fanya biashara kwa kuangalia uhitaji wa
bidhaa husika yaani jamii inapungukiwa kitu
hicho
3.Kunapokuwa na shida ya kitu flani sehemu
flani hiyo ni Fursa ina maana unatakiwa
kuanzisha baiashara ili utoe suluhisho,ili utoe
huduma na automatical ndio biashara sasa
maana ina wateja.
4.Kwa vijana usisubiri mpaka uwe mtu mzima
ndio uanzishe biashara.Anzakuwaza mafanikio
sasa,anza kupanua mawazo yako na uchukue
hatua
Share:

No comments:

GET LATEST JOBS and VACANCIES UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Get Latest Jobs Vacancies Alert Via Our Facebook Page

LATEST JOBS & VACANCIES