{ google_language = "en"; } { google_language = "en"; } UNAFURAIA KAZI YAKO?? ~ MAKI INSPIRE

new

new job

http://go.oclasrv.com/afu.php?id=1313272

UNAFURAIA KAZI YAKO??

JE UNAFURAHA NA KAZI YAKO??
UKIONA PAYSLIP MWISHO WA MWEZI
UNAFURAHI AU UNAKUNJA USO???
Kama majibu ni ndio unafurahia basi hongera
sana na endelea na kama ni hapana basi
jiulize UNAHITAJI KUWA NA FURAHA AU
HUZUNI??????
Kuna watu mwisho wa mwezi ukifika na
mshahara unapotoka hatuna furaha na
tukiangalia payslip tunakunja uso kwani pesa
zote zinapita tu na kwenda kulipia madeni na
baada ya hapo tunaongeza madeni tena hapo
hakuna maendeleo zaidi ya kurudi nyuma
Wangapi at least tunatoka na familia zetu
mara moja kwa mwezi tunaenda SERENA
HOTEL AU BAHARI BEACH AU SEA CLIFF
KUREFRESH MIND AU AT LEAST MARA MOJA
KWA MWAKA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA
KITALII WEWE NA FAMILIA YAKO???
FIKIRI UMEFANYA KAZI MIAKA 10-15 LKN
BADO UNAPANGA AU KUJENGA NYUMBA
MOJA TU AMBAYO SIO UNAYOIPENDA,HUNA
USAFIRI BINAFSI,WATOTO HAWAENDI SHULE
UIPENDAYO VYOTE HIVYO VINAKUPA STRESS
NA MAWAZO UNAONEKANA MZEE WAKATI
BADO KIJANA,UNAPATA MARADHI YA AJABU
UKIWA NA UMRI MDOGO NA MENGINE
HUONEKANA UKIWA MZEE KWANI MUDA
MWINGI HUNAFURAHA NI MAWAZO
TU.Hutamani kustaafu hata kama umri
umefika kwani hakuna ulichowekeza kwa
miaka zaidi ya thelathini uliyofanya kazi na
akaunti zote zipo empty.Mshahara ukichelewa
kidogo pressure juu
KAMA HAUNA FURAHA NA UNGEPENDA
KUWA NA FURAHA BASI BADILI FIKRA ZAKO
ONGEZA NJIA ZINGINE ZA KUKUONGEZEA
KIPATO
Usikae kupoteza muda wako kufanya kitu
kisicho na manufaa kwako au kisichokufurahi
sha maishani mwako kwani hutoweza kufikia
malengo yako
Share:

No comments:

GET LATEST JOBS and VACANCIES UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Get Latest Jobs Vacancies Alert Via Our Facebook Page

LATEST JOBS & VACANCIES