{ google_language = "en"; } { google_language = "en"; } MAPATO YA AJIRA ~ MAKI INSPIRE

new

new job

http://go.oclasrv.com/afu.php?id=1313272

MAPATO YA AJIRA

Mapato ya Ajira .
Haya ni mapato yanayotokana na kufanya
kazi ya kuajiriwa (mshahara), ambayo mtu
huyapata kutokana na ajira yake. Katika aina
hii ya kipato, vigezo vya kukuwezesha ulipwe
ni pamoja na aina ya kazi na wadhifa au
cheo chako. Pia, mapato haya yanajumuisha
mapato yoyote yatokanayo na ajira binafsi
(kujiajiri), biashara ndogondogo na shughuli
nyinginezo ambazo unapata kipato kutokana
na juhudi na muda uliotumika. Kwa maana
nyingine, ni kwamba kama husiposhugulika
au ukasimama kufanya kazi na kipato
kinakoma pale pale.
Ø Uzuri wa Mapato ya Ajira
· Mapato yanaongezeka zaidi
kulingana na muda na ukubwa wa
shughuli inayofanya
· Hauitaji mtaji kuweza kupata
mapato haya
· Mtaji ni nguvu au ujuzi wako
mwenyewe
Ø Ubaya wa Mapato ya Ajira
· Uwezi kupata utajiri wa kudumu
kwa aina hii ya mapato
yanayotokana na mshahara.
Kwasababu mshahara unapata,
unakula na unanaisha.......Unapata
unakula zinaisha.....
· Siyo mapato endelevu, ukiacha
kufanya kazi mapato yanakoma.
· Mapato haya ya ajira yanatozwa
kodi kubwa kuliko aina nyingine zote
za mapato na Waajiriwa wanalijua
vizuri hili.
Mfano; kwa mtu anayelipwa mshahara wa
kiasi cha 1,350,000/- anakatwa kodi hivi:
Aina ya Makato Kiasi (TSh)/
Mwezi
Kodi (Income Tax) 260,400.00
Bima ya Afya 40,500.00
Chama cha
Wafanyakazi
27,000.00
Mfuko wa Pensheni 67,500.00
Jumla 394,900.00
Sasa, ebu fikiria mtu anakatwa karibu Shilingi
400,000/- kila mwezi, kiasi ambacho kwa
mwaka kinafikia karibu shilling 4,800,000/-.
Unaweza kukuta mtu ana biashara yenye
mtaji upatao shilingi million 15, siajabu
kukuta analipa kodi kiasi kisichozidi shilingi
500,000/- kwa mwaka.





Share:

Related Posts:

No comments:

GET LATEST JOBS and VACANCIES UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Get Latest Jobs Vacancies Alert Via Our Facebook Page

LATEST JOBS & VACANCIES